Mr.January kutoka kijiji cha wanzani kata ya chang’ombe ambae pia ni mwanaume wa mfano katika kijiji cha wanzani akihamasisha maswala ya usawa wa kijinsia, akiwa anasaidia na mke wake kuandaa chakula, toka mradi wa Uhakika wa Chakula Wilaya ya Songwe
Usawa wa Kijinsia Wilayani Songwe
- Post author:Alex
- Post published:January 14, 2025
- Post category:Intergrated Food Security Project in Songwe