Mafunzo ya Elimu ya HURU na Kinga dhidi ya Ukatili wa Kingono na VVU kwa Vijana wenye miaka 10- 14, Yaliyotolewa kwa Waalimu za Msingi Tunduma TC. Yaliyotolewa na Mradi wa DREAM – Shirika la Maendeleo ADP Mbozi.! Mradi huu unafadhiliwa na USAID kupitia PACT Tanzania.

Mafunzo kwa Waalimu
- Post author:Alex
- Post published:February 17, 2023
- Post category:ACHIEVE Project