Maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani mwaka 2025 katika Mradi wa Uhakika wa Chakula na Lishe wenye mtazamo wa Kijinsia Songwe unaotekelezwa na ADP-Mbozi 2023-2025, Pichani ni Mh. Godwin Kaunda, ambaye ni mgeni rasmi akihutubia walengwa katika Kijiji cha Ifwenkenya kata ya Ifwenkenya Leo 28.11.2025.
Maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani mwaka 2025
- Post author:Alex
- Post published:November 29, 2025
- Post category:Intergrated Food Security Project in Songwe